Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Ezekieli 27:20 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Dedani alikuwa mchuuzi wako, kwa nguo za thamani za kutandikia farasi.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Watu wa Dedani walifanya biashara nawe kwa kukupatia matandiko ya farasi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Watu wa Dedani walifanya biashara nawe kwa kukupatia matandiko ya farasi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Watu wa Dedani walifanya biashara nawe kwa kukupatia matandiko ya farasi.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

“ ‘Dedani alifanya biashara nawe kwa matandiko ya farasi.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

“ ‘Dedani alifanya biashara nawe kwa matandiko ya farasi.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Dedani alikuwa mchuuzi wako, kwa nguo za thamani za kutandikia farasi.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Ezekieli 27:20
6 Marejeleo ya Msalaba  

Na wana wa Kushi ni Seba, na Havila, na Sabta, na Raama, na Sabteka. Na wana wa Raama ni Sheba, na Dedani.


Yokshani akamzaa Sheba, na Dedani; na wana wa Dedani walikuwa Waashuri na Waletushi, na Waleumi.


kwa sababu hiyo, Bwana MUNGU asema hivi; Nitanyosha mkono wangu juu ya Edomu, nitakatilia mbali nayo wanadamu na wanyama; nami nitaifanya kuwa ukiwa toka Temani; na mpaka Dedani wataanguka kwa upanga.


Wadedani walikuwa wachuuzi wako, visiwa vingi vilikuwa soko la mkono wako; walikuletea pembe, na mpingo, ili kuvibadili.


Wedani, na Yavani, walifanya biashara toka Uzali kwa vitu vyako; chuma kilichofuliwa, na mdalasini, na mchai, vilikuwa katika bidhaa yako.


Sheba, na Dedani, na wafanya biashara wa Tarshishi, pamoja na wanasimba wake wote, watakuambia, Je! Umekuja kuteka mateka? Umekusanya jeshi lako, ili kuwinda mawindo? Kuchukua fedha na dhahabu, kuchukua ng'ombe na mali, kuteka kiasi kikubwa cha nyara?