Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Ezekieli 21:8 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Neno la BWANA likanijia, kusema,

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Neno la Mwenyezi-Mungu lilinijia:

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Neno la Mwenyezi-Mungu lilinijia:

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Neno la Mwenyezi-Mungu lilinijia:

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Neno la Mwenyezi Mungu likanijia, kusema:

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Neno la bwana likanijia, kusema:

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Neno la BWANA likanijia, kusema,

Tazama sura
Tafsiri zingine



Ezekieli 21:8
4 Marejeleo ya Msalaba  

Watekao nyara wamepanda juu ya vilele vya milima katika nyika; kwa maana upanga wa BWANA utaangamiza toka upande mmoja wa nchi hata upande wa pili wa nchi; hapana mwenye mwili atakayekuwa na amani.


Au nikileta upanga juu ya nchi ile, na kusema, Upanga, pita kati ya nchi hii, hata nikawakatilia mbali na nchi hiyo wanadamu na wanyama;


Na itakuwa, wakuambiapo, Mbona unapiga kite? Ndipo utakaposema, Kwa sababu ya habari hizo, maana linakuja; na kila moyo utayeyuka, na mikono yote itakuwa dhaifu, na kila roho itazimia, na magoti yote yatageuka kuwa kama maji; tazama, linakuja, nalo litatendeka, asema Bwana MUNGU.


Mwanadamu, tabiri, useme, BWANA asema hivi; Nena, Upanga, upanga, umenolewa na kusuguliwa,