Na wale waliookoka na upanga akawachukua mpaka Babeli; wakamtumikia yeye na wanawe hata kulipoingia milki ya Uajemi;
Ezekieli 19:13 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC Na sasa umepandwa jangwani, katika nchi kavu, ya ukame. Matoleo zaidiBiblia Habari Njema Na sasa umepandikizwa jangwani, katika nchi kame isiyo na maji. Biblia Habari Njema - BHND Na sasa umepandikizwa jangwani, katika nchi kame isiyo na maji. Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza Na sasa umepandikizwa jangwani, katika nchi kame isiyo na maji. Neno: Bibilia Takatifu Sasa umepandwa jangwani katika nchi kame na ya kiu. Neno: Maandiko Matakatifu Sasa umepandwa jangwani katika nchi kame na ya kiu. BIBLIA KISWAHILI Na sasa umepandwa jangwani, katika nchi kavu, ya ukame. |
Na wale waliookoka na upanga akawachukua mpaka Babeli; wakamtumikia yeye na wanawe hata kulipoingia milki ya Uajemi;
Ee MUNGU, Mungu wangu, nitakutafuta mapema, Nafsi yangu inakuonea kiu, Mwili wangu wakuonea shauku, Katika nchi kame na uchovu, isiyo na maji.
Mungu huwapa wapweke makao yao; Huwapa wafungwa uhuru na kuwafanikisha; Bali wakaidi huishi katika nchi kavu.
Mama yako alikuwa kama mzabibu, katika damu yako, uliopandwa karibu na maji; akazaa sana na kujaa matawi, kwa sababu ya maji mengi.
nami nitawaingiza katika jangwa la mataifa, na huko ndiko nitakakoteta nanyi uso kwa uso.
nisije nikamvua nguo zake akawa uchi, nikamweka katika hali aliyokuwa nayo siku ya kuzaliwa kwake, na kumfanya kama jangwa, na kumweka kama nchi kame, na kumwua kwa kiu;
BWANA akawang'oa katika nchi yao kwa hasira, na ghadhabu, na makamio makuu, akawatupa waende nchi nyingine, kama hivi leo.