Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Ezekieli 16:2 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Mwanadamu, uujulishe Yerusalemu machukizo yake,

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

“Wewe mtu, ujulishe mji wa Yerusalemu machukizo yake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

“Wewe mtu, ujulishe mji wa Yerusalemu machukizo yake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

“Wewe mtu, ujulishe mji wa Yerusalemu machukizo yake.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

“Mwanadamu, kabili Yerusalemu kuhusu matendo yake ya kuchukiza,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

“Mwanadamu, ijulishe Yerusalemu kuhusu mwenendo wake wa machukizo

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Mwanadamu, uujulishe Yerusalemu machukizo yake,

Tazama sura
Tafsiri zingine



Ezekieli 16:2
9 Marejeleo ya Msalaba  

Piga kelele, usiache, Paza sauti yako kama tarumbeta; Uwahubirie watu wangu kosa lao, Na nyumba ya Yakobo dhambi zao.


Neno la BWANA likanijia tena, kusema,


useme, Bwana MUNGU auambia Yerusalemu hivi; Asili yako na kuzaliwa kwako kwatoka katika nchi ya Mkanaani; Mwamori alikuwa baba yako, na mama yako alikuwa Mhiti.


Je! Utawahukumu, mwanadamu, utawahukumu? Uwajulishe machukizo ya baba zao;


Na wewe, mwanadamu, je! Utauhukumu, utauhukumu mji huu wa damu? Basi uujulishe machukizo yake yote.


Tena BWANA akaniambia, Mwanadamu, utawahukumu Ohola na Oholiba? Basi watangazie matendo yao maovu.


Tia baragumu kinywani mwako. Kama tai, anakuja juu ya nyumba ya BWANA; kwa sababu wamelivunja agano langu, wameiasi sheria yangu.