Ezekieli 12:9 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC Mwanadamu, nyumba ya Israeli, je! Nyumba ile iliyoasi, hawakukuambia, Unafanya nini wewe? Matoleo zaidiBiblia Habari Njema “Wewe mtu! Je, hao waasi wa Israeli hawajakuuliza maana ya hicho ulichofanya? Biblia Habari Njema - BHND “Wewe mtu! Je, hao waasi wa Israeli hawajakuuliza maana ya hicho ulichofanya? Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza “Wewe mtu! Je, hao waasi wa Israeli hawajakuuliza maana ya hicho ulichofanya? Neno: Bibilia Takatifu “Mwanadamu, je, nyumba ile ya uasi ya Israeli haikukuuliza, ‘Unafanya nini?’ Neno: Maandiko Matakatifu “Mwanadamu, je, nyumba ile ya kuasi ya Israeli haikukuuliza, ‘Unafanya nini?’ BIBLIA KISWAHILI Mwanadamu, nyumba ya Israeli, je! Nyumba ile iliyoasi, hawakukuambia, Unafanya nini wewe? |
Waambie sasa nyumba hii iliyoasi, Hamjui maana ya mambo haya? Waambie, Tazama, mfalme wa Babeli alifika Yerusalemu, akamtwaa mfalme wake, na wakuu wake, akawachukua pamoja naye mpaka Babeli;
Ndipo nikasema, Ee Bwana MUNGU, wao hunisema; Je! Mtu huyu si mtu mwenye kupiga mithali?
Watu hao wakaniambia, Je! Hutaki kutuambia maana ya mambo haya kwetu, hata umefanya kama vile ufanyavyo.
Na wana wa watu wangu watakapokuambia, wakisema, Je! Hutatuonesha maana ya mambo hayo utendayo?