Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Ezekieli 12:8 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Asubuhi neno la BWANA likanijia, kusema,

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kesho yake asubuhi, Mwenyezi-Mungu akaniuliza:

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kesho yake asubuhi, Mwenyezi-Mungu akaniuliza:

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kesho yake asubuhi, Mwenyezi-Mungu akaniuliza:

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Asubuhi neno la Mwenyezi Mungu likanijia kusema:

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Asubuhi neno la bwana likanijia kusema:

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Asubuhi neno la BWANA likanijia, kusema,

Tazama sura
Tafsiri zingine



Ezekieli 12:8
2 Marejeleo ya Msalaba  

Nikafanya vile vile kama nilivyoamriwa; nilitoa vyombo vyangu wakati wa mchana kana kwamba ni vyombo vya kuhamishwa, na wakati wa jioni nikautoboa ukuta kwa mkono wangu; nikavitoa gizani, nikavichukua begani, mbele ya macho yao.


Mwanadamu, nyumba ya Israeli, je! Nyumba ile iliyoasi, hawakukuambia, Unafanya nini wewe?