Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Ezekieli 12:5 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Toboa mahali ukutani mbele ya macho yao, ukachukue vitu kwa kuvipitisha pale.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Wakiwa wanakuangalia toboa ukuta wa nyumba, upitie hapo na kwenda nje.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Wakiwa wanakuangalia toboa ukuta wa nyumba, upitie hapo na kwenda nje.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Wakiwa wanakuangalia toboa ukuta wa nyumba, upitie hapo na kwenda nje.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Wakiwa wanakutazama, toboa ukuta utolee mizigo yako hapo.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Wakiwa wanakutazama, toboa ukuta utolee mizigo yako hapo.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Toboa mahali ukutani mbele ya macho yao, ukachukue vitu kwa kuvipitisha pale.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Ezekieli 12:5
5 Marejeleo ya Msalaba  

Ndipo mahali pakabomolewa katika ukuta wa mji, watu wote wa vita wakakimbia usiku kwa njia ya lango lililokuwa kati ya zile kuta mbili, karibu na bustani ya mfalme; (basi wale Wakaldayo walikuwa wakiuzuia mji pande zote;) mfalme akaenda kwa njia ya Araba.


Wao hutoboa nyumba gizani; Hujifungia ndani wakati wa mchana; Hawaujui mwanga.


Nawe utatoa vyombo vyako, wakati wa mchana, mbele ya macho yao, kana kwamba ni vyombo vya kuhamishwa; nawe mwenyewe utatoka, wakati wa jioni, mbele ya macho yao, kama watu watokavyo katika kuhamishwa.


Mbele ya macho yao utajitwika begani pako, na kuvichukua nje gizani; utafunika uso wako, hata usiione nchi; kwa maana nimekuweka uwe ishara kwa nyumba ya Israeli.