Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Ezekieli 12:1 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Neno la BWANA likanijia tena, kusema,

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Neno la Mwenyezi-Mungu likanijia:

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Neno la Mwenyezi-Mungu likanijia:

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Neno la Mwenyezi-Mungu likanijia:

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Neno la Mwenyezi Mungu likanijia kusema:

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Neno la bwana likanijia kusema:

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Neno la BWANA likanijia tena, kusema,

Tazama sura
Tafsiri zingine



Ezekieli 12:1
6 Marejeleo ya Msalaba  

Akasema, Itwae mishale; akaitwaa. Akamwambia mfalme wa Israeli, Piga chini; akaipiga nchi mara tatu, akaacha.


BWANA ameniambia hivi, Jitengenezee vifungo na nira, ukajivike shingoni;


Ndipo nikawaambia watu wa uhamisho habari ya mambo yote aliyonionesha BWANA.


Mwanadamu, wewe unakaa kati ya nyumba iliyoasi, watu ambao wana macho ya kuona, ila hawaoni, wana masikio ya kusikia, ila hawasikii; kwa maana ni nyumba iliyoasi.


Maana mimi ni BWANA; mimi nitanena, na neno lile nitakalolinena litatimizwa; wala halitakawilishwa tena; maana katika siku zenu, Ewe nyumba iliyoasi, nitalinena neno hilo na kulitimiza, asema Bwana MUNGU.


Mwanadamu, nyumba ya Israeli, je! Nyumba ile iliyoasi, hawakukuambia, Unafanya nini wewe?