Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Ezekieli 11:4 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Basi toa unabii juu yao, Ee mwanadamu, toa unabii.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kwa hiyo, toa unabii dhidi yao! Tabiri ewe mtu!”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kwa hiyo, toa unabii dhidi yao! Tabiri ewe mtu!”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kwa hiyo, toa unabii dhidi yao! Tabiri ewe mtu!”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kwa hiyo tabiri dhidi yao; tabiri, ewe mwanadamu.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kwa hiyo toa unabii dhidi yao, tabiri, Ewe mwanadamu.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Basi toa unabii juu yao, Ee mwanadamu, toa unabii.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Ezekieli 11:4
8 Marejeleo ya Msalaba  

Piga kelele, usiache, Paza sauti yako kama tarumbeta; Uwahubirie watu wangu kosa lao, Na nyumba ya Yakobo dhambi zao.


Mwanadamu, uelekeze uso wako Yerusalemu, ukadondoze neno lako upande wa mahali patakatifu, ukatabiri juu ya nchi ya Israeli;


Mwanadamu, uwaelekezee wana wa Amoni uso wako, ukatabiri juu yao.


Kwa sababu hiyo nimewakatakata kwa vinywa vya manabii; nimewaua kwa maneno ya kinywa changu; na hukumu yangu itatokea kama mwanga.


Tia baragumu kinywani mwako. Kama tai, anakuja juu ya nyumba ya BWANA; kwa sababu wamelivunja agano langu, wameiasi sheria yangu.