Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Ezekieli 11:25 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Ndipo nikawaambia watu wa uhamisho habari ya mambo yote aliyonionesha BWANA.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Hapo nikawaeleza wale waliokuwa uhamishoni mambo yote aliyonionesha Mwenyezi-Mungu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Hapo nikawaeleza wale waliokuwa uhamishoni mambo yote aliyonionesha Mwenyezi-Mungu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Hapo nikawaeleza wale waliokuwa uhamishoni mambo yote aliyonionesha Mwenyezi-Mungu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

nami nikawaeleza wale watu wa uhamisho kila kitu Mwenyezi Mungu alichokuwa amenionesha.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

nami nikawaeleza wale watu wa uhamisho kila kitu bwana alichokuwa amenionyesha.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Ndipo nikawaambia watu wa uhamisho habari ya mambo yote aliyonionesha BWANA.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Ezekieli 11:25
5 Marejeleo ya Msalaba  

Neno la BWANA likanijia tena, kusema,


Nawe utawaambia maneno yangu, iwe watasikia au hawataki kusikia; maana hao wanaasi sana.


Mwanadamu, nimekuweka kuwa mlinzi wa nyumba ya Israeli; basi, sikia neno hili litokalo katika kinywa changu, ukawape maonyo haya yatokayo kwangu.


Lakini hapo nitakaposema nawe, nitafumbua kinywa chako, nawe utawaambia, Bwana MUNGU asema hivi. Yeye asikiaye na asikie; naye akataaye na akatae; maana wao ni nyumba yenye kuasi.


Akaniambia, Mwanadamu, haya! Waendee wana wa Israeli ukawaambie maneno yangu.