Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Ezekieli 10:13 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Na magurudumu hayo yaliitwa Kisulisuli, nami nilisikia.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Niliambiwa kuwa magurudumu yale yanaitwa, “Magurudumu Yanayozunguka.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Niliambiwa kuwa magurudumu yale yanaitwa, “Magurudumu Yanayozunguka.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Niliambiwa kuwa magurudumu yale yanaitwa, “Magurudumu Yanayozunguka.”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Nikasikia magurudumu yakiitwa “magurudumu ya kisulisuli”.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Nikasikia magurudumu yakiitwa, “Magurudumu ya kisulisuli.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Na magurudumu hayo yaliitwa Kisulisuli, nami nilisikia.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Ezekieli 10:13
4 Marejeleo ya Msalaba  

Basi, nilipokuwa nikivitazama wale viumbe hai, tazama, gurudumu moja juu ya nchi, karibu na kila kimoja cha wale viumbe hai, pande zake zote nne.


Na mwili wao mzima, na maungo yao, na mikono yao, na mabawa yao, na magurudumu, wamejaa macho pande zote, hata magurudumu waliyokuwa nayo wale wanne.


Kila mmoja alikuwa na nyuso nne; uso wa kwanza ulikuwa uso wa kerubi, na uso wa pili ulikuwa uso wa mwanadamu, na uso wa tatu ulikuwa uso wa simba, na uso wa nne ulikuwa uso wa tai.


Naye akamwambia mtu yule aliyevaa bafta, akasema, Ingia kati ya magurudumu yazungukayo, yaani, chini ya kerubi, ukaijaze mikono yako yote miwili makaa ya moto, toka katikati ya makerubi, ukayamwage juu ya mji. Akaingia ndani mbele ya macho yangu.