Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Ezekieli 1:6 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Na kila mmoja alikuwa na nyuso nne, na kila mmoja alikuwa na mabawa manne.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kila mmoja alikuwa na nyuso nne na mabawa manne.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kila mmoja alikuwa na nyuso nne na mabawa manne.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kila mmoja alikuwa na nyuso nne na mabawa manne.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

lakini kila mmoja alikuwa na nyuso nne na mabawa manne.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

lakini kila kimoja kilikuwa na nyuso nne na mabawa manne.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Na kila mmoja alikuwa na nyuso nne, na kila mmoja alikuwa na mabawa manne.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Ezekieli 1:6
10 Marejeleo ya Msalaba  

Na hayo makerubi yatainua mabawa yao juu, na kukifunika hicho kiti cha rehema kwa mabawa yao, na nyuso zao zitaelekeana hili na hili; nyuso za hayo makerubi zitaelekea kiti cha rehema.


Juu yake walisimama maserafi; kila mmoja alikuwa na mabawa sita; kwa mawili alifunika uso wake, na kwa mawili alifunika miguu yake, na kwa mawili aliruka.


Basi, nilipokuwa nikivitazama wale viumbe hai, tazama, gurudumu moja juu ya nchi, karibu na kila kimoja cha wale viumbe hai, pande zake zote nne.


Na chini ya anga mabawa yao yamenyoshwa, moja kulielekea la pili; kila mmoja alikuwa na mawili yaliyowafunika miili yao upande mmoja, na kila mmoja alikuwa na mawili yaliyowafunika miili yao upande wa pili.


Na kuonekana kwake, yote manne yalikuwa na mfano mmoja, kana kwamba gurudumu moja lilikuwa ndani ya gurudumu lingine.


Kila mmoja alikuwa na nyuso nne; uso wa kwanza ulikuwa uso wa kerubi, na uso wa pili ulikuwa uso wa mwanadamu, na uso wa tatu ulikuwa uso wa simba, na uso wa nne ulikuwa uso wa tai.