Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Ezekieli 1:17 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Yalipokwenda yalikwenda pande zote nne; hayakugeuka yalipokwenda.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Yaliposogea yalikwenda upande wowote wa pande nne za dira ya dunia bila kugeuka.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Yaliposogea yalikwenda upande wowote wa pande nne za dira ya dunia bila kugeuka.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Yaliposogea yalikwenda upande wowote wa pande nne za dira ya dunia bila kugeuka.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Magurudumu yalipoenda, yalielekea upande mmoja wa pande nne walikoelekea wale viumbe; wale viumbe walipoenda, magurudumu hayakugeuka.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Yalipokwenda yalielekea upande wowote wa pande nne walipoelekea wale viumbe, magurudumu hayakuzunguka wakati viumbe vile vilipokwenda.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Yalipokwenda yalikwenda pande zote nne; hayakugeuka yalipokwenda.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Ezekieli 1:17
5 Marejeleo ya Msalaba  

ndivyo litakavyokuwa neno langu, litokalo katika kinywa changu; halitanirudia bure, bali litatimiza mapenzi yangu, nalo litafanikiwa katika mambo yale niliyolituma.


Nao walikwenda kuelekea mbele, kila mmoja wao; roho ilikotaka kwenda ndiko walikokwenda; hawakugeuka walipokwenda.


Nao walikuwa na mikono ya mwanadamu chini ya mabawa yao, pande zote nne; na wote wanne walikuwa na nyuso zao na mabawa yao hivi;


mabawa yao yaliungana, hili na hili; nao hawakugeuka walipokwenda, walikwenda kila mmoja kuelekea mbele.