Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Ezekieli 1:12 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Nao walikwenda kuelekea mbele, kila mmoja wao; roho ilikotaka kwenda ndiko walikokwenda; hawakugeuka walipokwenda.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Popote roho ilipotaka kwenda, walikwenda; kila mmoja wao alikwenda mbele moja kwa moja bila kuugeuza mwili wake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Popote roho ilipotaka kwenda, walikwenda; kila mmoja wao alikwenda mbele moja kwa moja bila kuugeuza mwili wake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Popote roho ilipotaka kwenda, walikwenda; kila mmoja wao alikwenda mbele moja kwa moja bila kuugeuza mwili wake.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kila mmoja alienda kuelekea mbele moja kwa moja. Popote roho alipoenda, walienda pasipo kugeuka.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kila mmoja alikwenda kuelekea mbele moja kwa moja. Popote roho alipotaka kwenda, ndipo walipokwenda pasipo kugeuka.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Nao walikwenda kuelekea mbele, kila mmoja wao; roho ilikotaka kwenda ndiko walikokwenda; hawakugeuka walipokwenda.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Ezekieli 1:12
5 Marejeleo ya Msalaba  

Yalipokwenda yalikwenda pande zote nne; hayakugeuka yalipokwenda.


mabawa yao yaliungana, hili na hili; nao hawakugeuka walipokwenda, walikwenda kila mmoja kuelekea mbele.


Na mfano wa nyuso zao, ni nyuso zile zile nilizoziona karibu na mto Kebari; kuonekana kwao, na wao wenyewe; kila mmoja walikwenda mbele moja kwa moja.


Je! Hao wote si roho watumikao, wakitumwa kuwahudumia wale watakaourithi wokovu?