Esta 8:4 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC
Ndipo mfalme alipomnyoshea Esta fimbo yake ya dhahabu. Basi Esta akaondoka, akasimama mbele ya mfalme.
Tazama sura
Matoleo zaidi
Mfalme akamnyoshea Esta fimbo yake ya dhahabu, naye Esta akasimama na kusema,
Tazama sura
Mfalme akamnyoshea Esta fimbo yake ya dhahabu, naye Esta akasimama na kusema,
Tazama sura
Mfalme akamnyoshea Esta fimbo yake ya dhahabu, naye Esta akasimama na kusema,
Tazama sura
Kisha mfalme alimnyooshea Esta fimbo yake ya utawala ya dhahabu naye aliinuka na kusimama mbele yake.
Tazama sura
Kisha mfalme alimnyooshea Esta fimbo yake ya utawala ya dhahabu naye aliinuka na kusimama mbele yake.
Tazama sura
Mfalme alipompungia Esteri kwa bakora yake ya dhahabu, Esteri akainuka, asimame mbele ya mfalme,
Tazama sura
Tafsiri zingine