Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Esta 8:4 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Ndipo mfalme alipomnyoshea Esta fimbo yake ya dhahabu. Basi Esta akaondoka, akasimama mbele ya mfalme.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mfalme akamnyoshea Esta fimbo yake ya dhahabu, naye Esta akasimama na kusema,

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mfalme akamnyoshea Esta fimbo yake ya dhahabu, naye Esta akasimama na kusema,

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mfalme akamnyoshea Esta fimbo yake ya dhahabu, naye Esta akasimama na kusema,

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kisha mfalme alimnyooshea Esta fimbo yake ya utawala ya dhahabu naye aliinuka na kusimama mbele yake.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kisha mfalme alimnyooshea Esta fimbo yake ya utawala ya dhahabu naye aliinuka na kusimama mbele yake.

Tazama sura

Swahili Roehl Bible 1937

Mfalme alipompungia Esteri kwa bakora yake ya dhahabu, Esteri akainuka, asimame mbele ya mfalme,

Tazama sura
Tafsiri zingine



Esta 8:4
3 Marejeleo ya Msalaba  

Watumishi wote wa mfalme wanajua sana, hata na watu wa majimbo ya mfalme, ya kwamba mtu yeyote, akiwa mwanamume au mwanamke, atakayemjia mfalme katika ua wa ndani, wala hakuitwa, kuna sheria moja kwake, ni kwamba auawe; isipokuwa yeye ambaye mfalme atamnyoshea fimbo ya dhahabu, ili aishi; wala mimi sikuitwa niingie kwa mfalme yapata siku thelathini.


Ikawa, mfalme alipomwona malkia Esta amesimama uani, yeye akapata kibali machoni pake; naye mfalme akamnyoshea Esta fimbo ya dhahabu aliyokuwa nayo mkononi. Basi Esta akakaribia, akaigusa ncha ya fimbo.


Tena Esta akasema na mfalme mara ya pili, akaanguka miguuni pake, akamsihi kwa machozi ayaondoe madhara ya Hamani, Mwagagi, na shauri alilowafanyia Wayahudi.