Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Esta 7:1 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Basi mfalme na Hamani walikwenda kula karamu pamoja na malkia Esta.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Hivyo mfalme na Hamani wakaenda kula karamu na malkia Esta.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Hivyo mfalme na Hamani wakaenda kula karamu na malkia Esta.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Hivyo mfalme na Hamani wakaenda kula karamu na malkia Esta.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Basi mfalme na Hamani wakaenda kula chakula pamoja na Malkia Esta.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Basi mfalme na Hamani wakaenda kula chakula pamoja na Malkia Esta.

Tazama sura

Swahili Roehl Bible 1937

Mfalme akaja pamoja na Hamani karamuni kwake Esteri, mkewe mfalme.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Esta 7:1
4 Marejeleo ya Msalaba  

Matarishi wakaondoka wakaenda haraka kwa amri ya mfalme; kukapigwa mbiu huko Shushani ngomeni. Mfalme na Hamani wakaketi ili kunywa divai; bali mji wa Shushani ukafadhaika.


Ikiwa nimepata kibali machoni pa mfalme, na mfalme akiona vema kunipa niombalo, na kunitimizia haja yangu, na aje tena mfalme na Hamani kwenye karamu nitakayowaandalia, nami kesho nitafanya kama vile mfalme alivyosema.


Walipokuwa wangali wakisema naye, matowashi wa mfalme walifika, wakahimiza kumleta Hamani katika karamu ile aliyoiandaa Esta.


Mfalme akamwambia Esta tena siku ya pili pale pale penye karamu ya divai, Malkia Esta, dua yako ni nini? Nawe utapewa; na haja yako ni nini? Hata nusu ya ufalme utatimiziwa.