Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Esta 5:5 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Basi mfalme akasema, Mhimize Hamani, ili ifanyike kama Esta alivyoomba. Hivyo mfalme na Hamani wakafika katika karamu ile aliyoiandaa Esta.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mfalme akatoa amri Hamani aje upesi, kama Esta alivyoomba. Basi, mfalme na Hamani wakaenda kwenye karamu aliyoandaa Esta.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mfalme akatoa amri Hamani aje upesi, kama Esta alivyoomba. Basi, mfalme na Hamani wakaenda kwenye karamu aliyoandaa Esta.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mfalme akatoa amri Hamani aje upesi, kama Esta alivyoomba. Basi, mfalme na Hamani wakaenda kwenye karamu aliyoandaa Esta.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mfalme akasema, “Mleteni Hamani mara moja, ili tupate kufanya lile Esta analoomba.” Kwa hiyo mfalme na Hamani walihudhuria karamu aliyoiandaa Esta.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Mfalme akasema, “Mleteni Hamani mara moja, ili tupate kufanya lile Esta analoomba.” Kwa hiyo mfalme na Hamani walihudhuria karamu aliyoiandaa Esta.

Tazama sura

Swahili Roehl Bible 1937

Mfalme akaagiza: Mwiteni Hamani, aje upesi, yafanyike Esteri aliyoyasema! Mfalme na Hamani wakaja kula karamu, Esteri aliyoifanya.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Esta 5:5
2 Marejeleo ya Msalaba  

Esta akasema, Mfalme akiona vema, na aje leo, mfalme na Hamani, kwenye karamu niliyomwandalia.


Walipokuwa wangali wakisema naye, matowashi wa mfalme walifika, wakahimiza kumleta Hamani katika karamu ile aliyoiandaa Esta.