Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Esta 1:20 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Basi mbiu ya mfalme atakayoipiga itakapotangazwa katika ufalme wake wote, nao ni mkubwa, wake wote watawaheshimu waume zao, wakubwa kwa wadogo.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Amri hiyo itakapotangazwa katika eneo lote la utawala wako, kila mwanamke atamheshimu mume wake, awe tajiri au maskini.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Amri hiyo itakapotangazwa katika eneo lote la utawala wako, kila mwanamke atamheshimu mume wake, awe tajiri au maskini.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Amri hiyo itakapotangazwa katika eneo lote la utawala wako, kila mwanamke atamheshimu mume wake, awe tajiri au maskini.”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kisha mbiu hii ya mfalme itakapotangazwa katika himaya yake iliyo kubwa sana, wanawake wote watawaheshimu waume zao, kuanzia mdogo hadi mkubwa.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kisha mbiu hii ya mfalme itakapotangazwa katika himaya yake iliyo kubwa sana, wanawake wote watawaheshimu waume zao, kuanzia mdogo hadi mkubwa.”

Tazama sura

Swahili Roehl Bible 1937

Mbiu hiyo, mfalme atakayoitoa, itakapotangazwa katika ufalme wake wote ulio mkubwa, ndipo, wanawake wote watakapowapa bwana zao macheo, wakubwa kwa wadogo.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Esta 1:20
8 Marejeleo ya Msalaba  

Basi neno hili likawapendeza mfalme na wakuu wake; naye mfalme akafanya kama alivyopendekeza Memukani.


Baada ya hayo, hasira yake mfalme Ahasuero ilipotulia, alimkumbuka Vashti, na vile alivyotenda, na yale yaliyoamriwa juu yake.


Enyi wake, watiini waume zenu kama kumtii Bwana wetu.


Lakini kila mtu ampende mke wake kama nafsi yake mwenyewe; wala mke asikose kumstahi mumewe.


Na hao watu wote watasikia na kuogopa, wasifanye tena kwa kujikinai.


Wanaume wote wa mji wake na wamtupie mawe, afe; ndivyo utakavyoondoa uovu katikati yako; na Israeli wote watasikia na kuogopa.


Ninyi wake, watiini waume zenu, kama ipendezavyo katika Bwana.