Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Amosi 8:13 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Siku hiyo wanawali wazuri na wavulana watazimia kwa kiu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

“Siku hiyo, hata vijana wenye afya, wa kiume kwa wa kike, watazimia kwa kiu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

“Siku hiyo, hata vijana wenye afya, wa kiume kwa wa kike, watazimia kwa kiu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

“Siku hiyo, hata vijana wenye afya, wa kiume kwa wa kike, watazimia kwa kiu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

“Katika siku ile “wasichana wazuri na wavulana wenye nguvu watazimia kwa sababu ya kiu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

“Katika siku ile “wasichana wazuri na vijana wanaume wenye nguvu watazimia kwa sababu ya kiu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Siku hiyo wanawali wazuri na wavulana watazimia kwa kiu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Amosi 8:13
13 Marejeleo ya Msalaba  

Ee MUNGU, Mungu wangu, nitakutafuta mapema, Nafsi yangu inakuonea kiu, Mwili wangu wakuonea shauku, Katika nchi kame na uchovu, isiyo na maji.


Hata vijana watazimia na kuchoka, na vijana wanaume wataanguka;


Kwa sababu hiyo Bwana hatawafurahia vijana wao, wala hatawahurumia yatima zao wala wajane wao; maana kila mtu ni mnajisi, dhalimu, na kila ulimi hunena upumbavu. Pamoja na hayo yote hasira yake haikugeukia mbali, lakini mkono wake umenyoshwa hata sasa.


Ee binti ukaaye Diboni, Shuka toka utukufu wako, ukae katika kiu; Maana atekaye Moabu amepanda juu yako, Ameziharibu ngome zako.


BWANA ndiye mwenye haki; Maana nimeiasi amri yake; Sikieni, nawasihi, enyi watu wote, Mkayatazame majonzi yangu; Wasichana wangu na wavulana wangu Wamechukuliwa mateka.


Wazee wa binti Sayuni huketi chini, Hunyamaza kimya; Wametupa mavumbi juu ya vichwa vyao, Wamejivika viunoni nguo za magunia; Wanawali wa Yerusalemu huinama vichwa vyao Kuielekea nchi.


Kijana na mzee hulala chini Katika njia kuu; Wasichana wangu na wavulana wangu Wameanguka kwa upanga; Umewaua katika siku ya hasira yako; Umeua, wala hukuona huruma.


nisije nikamvua nguo zake akawa uchi, nikamweka katika hali aliyokuwa nayo siku ya kuzaliwa kwake, na kumfanya kama jangwa, na kumweka kama nchi kame, na kumwua kwa kiu;


Maana mama yao amezini; yeye aliyewachukua mimba ametenda mambo ya aibu; maana alisema, Nitafuatana na wapenzi wangu, wanipao chakula changu na maji yangu, sufu yangu na kitani yangu, mafuta yangu na vileo vyangu.


Maana wema wake, jinsi ulivyo mwingi! Na uzuri wake, jinsi ulivyo mwingi! Nafaka itawasitawisha vijana wanaume, Na divai mpya vijana wanawake.


Nje upanga utawafifiliza Na ndani ya vyumba, utisho; Utaangamiza mvulana na msichana, Anyonyaye pamoja na mwenye mvi,