Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




2 Wathesalonike 3:15 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

lakini msimhesabu kuwa adui, bali mwonyeni kama ndugu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Lakini msimtendee mtu huyo kama adui, bali mwonyeni kama ndugu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Lakini msimtendee mtu huyo kama adui, bali mwonyeni kama ndugu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Lakini msimtendee mtu huyo kama adui, bali mwonyeni kama ndugu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Lakini msimhesabu kuwa adui, bali mwonyeni kama ndugu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Lakini msimhesabu kuwa adui, bali mwonyeni kama ndugu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

lakini msimhesabu kuwa adui, bali mwonyeni kama ndugu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



2 Wathesalonike 3:15
17 Marejeleo ya Msalaba  

Mwenye haki na anipige, itakuwa fadhili; Anikemee, itakuwa kama mafuta kichwani; Kichwa changu kisikatae, Maana siachi kusali kati ya mabaya yao.


Kipuli cha dhahabu, na pambo la dhahabu safi; Ndivyo alivyo mwonyaji mwenye hekima kwa sikio lisikialo.


Mwelimishe mwenye hekima, naye atazidi kuwa na hekima; Mfundishe mwenye haki, naye atazidi kuwa na elimu;


Na ndugu yako akikukosea, nenda ukamwonye, wewe na yeye peke yenu; akikusikia, umempata nduguyo.


Siyaandiki hayo ili kuwatahayarisha; bali kuwaonya kama watoto niwapendao.


kumtolea Shetani mtu huyo, ili mwili uadhibiwe, ili na roho iokolewe katika siku ya Bwana Yesu.


Maana, nijapojisifu zaidi kidogo kwa ajili ya mamlaka yetu, (tuliyopewa na Bwana, tupate kuwajenga wala si kuwaangusha), sitatahayarika;


Kwa sababu hiyo, naandika haya nikiwa mbali nanyi, ili, nikija, nisiwe na ukali wa kadiri ya uwezo ule niliopewa na Bwana, kwa kujenga wala si kwa kubomoa.


Ndugu zangu, mtu akishikwa katika kosa lolote, ninyi mlio wa Roho mrejesheni upya mtu kama huyo kwa roho ya upole, ukijiangalia nafsi yako usije ukajaribiwa wewe mwenyewe.


Ndugu, tunawasihi, waonyeni wale wasiokaa kwa utaratibu; watieni moyo walio dhaifu; watieni nguvu wanyonge; vumilieni na watu wote.


Lakini ninyi, ndugu, msikate tamaa katika kutenda mema.


Ndugu, tunawaagiza katika jina la Bwana Yesu Kristo, jitengeni nafsi zenu kutoka kwa kila ndugu aendaye bila utaratibu, wala si kwa kufuata mapokeo mliyoyapokea kwetu.


Mtu aliye mzushi, baada ya kumwonya mara ya kwanza na mara ya pili, tengana naye;