Wakati ule Yesu akajibu, akasema, Nakushukuru, Baba, Bwana wa mbingu na nchi, kwa kuwa mambo haya uliwaficha wenye hekima na akili, ukawafunulia watoto wachanga.
2 Wakorintho 4:3 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC Lakini ikiwa Injili yetu imesitirika, imesitirika kwa hao wanaopotea; Matoleo zaidiBiblia Habari Njema Maana, kama Habari Njema tunayohubiri imefichika, imefichika tu kwa wale wanaopotea. Biblia Habari Njema - BHND Maana, kama Habari Njema tunayohubiri imefichika, imefichika tu kwa wale wanaopotea. Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza Maana, kama Habari Njema tunayohubiri imefichika, imefichika tu kwa wale wanaopotea. Neno: Bibilia Takatifu Hata nayo Injili yetu kama imetiwa utaji, ni kwa wale tu wanaopotea. Neno: Maandiko Matakatifu Hata nayo Injili yetu kama imetiwa utaji, ni kwa wale tu wanaopotea. BIBLIA KISWAHILI Lakini ikiwa Injili yetu imesitirika, imesitirika kwa hao wanaopotea; |
Wakati ule Yesu akajibu, akasema, Nakushukuru, Baba, Bwana wa mbingu na nchi, kwa kuwa mambo haya uliwaficha wenye hekima na akili, ukawafunulia watoto wachanga.
katika siku ile Mungu atakapozihukumu siri za wanadamu, sawasawa na Injili yangu, kwa Kristo Yesu.
Kwa sababu neno la msalaba kwao wanaopotea ni upuzi, bali kwetu sisi tunaookolewa ni nguvu ya Mungu.
Lakini iko hekima tusemayo kati ya wakamilifu; ila si hekima ya dunia hii, wala ya hao wanaoitawala dunia hii, wanaobatilika;
ila fikira zao zilitiwa uzito. Kwa maana hata leo hivi, wakati lisomwapo Agano la Kale, utaji uo huo wakaa; yaani, haikufunuliwa kwamba huondolewa katika Kristo;
ambao ndani yao mungu wa dunia hii amepofusha fikira zao wasioamini, wasiione nuru ya Injili ya utukufu wake Kristo aliye sura yake Mungu.
ya kwamba Injili yetu haikuwafikia katika maneno tu, bali na katika nguvu, na katika Roho Mtakatifu, na uthibitifu mwingi; kama vile mnavyojua jinsi zilivyokuwa tabia zetu kwenu, kwa ajili yenu.
kama ilivyonenwa katika Habari Njema ya utukufu wa Mungu ahimidiwaye, niliyowekewa amana.