Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




2 Wakorintho 4:13 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Lakini kwa kuwa tuna roho ile ile ya imani; kama ilivyoandikwa, Niliamini, na kwa sababu hiyo nilinena; sisi nasi twaamini, na kwa sababu hiyo twanena;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Maandiko Matakatifu yasema: “Niliamini, ndiyo maana nilinena.” Nasi pia, tukiwa na moyo huohuo wa imani, tunaamini, na kwa sababu hiyo twanena.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Maandiko Matakatifu yasema: “Niliamini, ndiyo maana nilinena.” Nasi pia, tukiwa na moyo huohuo wa imani, tunaamini, na kwa sababu hiyo twanena.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Maandiko Matakatifu yasema: “Niliamini, ndiyo maana nilinena.” Nasi pia, tukiwa na moyo huohuo wa imani, tunaamini, na kwa sababu hiyo twanena.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Imeandikwa, “Niliamini, kwa hiyo nimesema.” Kwa roho yule yule wa imani pia tuliamini na hivyo tunasema,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Imeandikwa, “Niliamini, kwa hiyo nimesema.” Kwa roho yule yule wa imani pia tuliamini na hivyo tunasema,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Lakini kwa kuwa tuna roho ile ile ya imani; kama ilivyoandikwa, Niliamini, na kwa sababu hiyo nilinena; sisi nasi twaamini, na kwa sababu hiyo twanena;

Tazama sura
Tafsiri zingine



2 Wakorintho 4:13
9 Marejeleo ya Msalaba  

Nilidumisha imani yangu, hata niliposema, Mimi nateseka sana.


Shahidi wa uongo atapotea; Bali mtu asikiaye atasema maneno yadumuyo.


Bali twaamini kwamba tutaokoka kwa neema ya Bwana Yesu vile vile kama wao.


yaani, tufarijiane mimi na ninyi, kila mtu kwa imani ya mwenzake, yenu na yangu.


mwingine imani katika Roho yeye yule; na mwingine karama za kuponya katika Roho yule mmoja;


Basi, kwa kuwa mna tumaini la namna hii, twatumia ujasiri mwingi;


Basi hapo mauti hufanya kazi ndani yetu, bali uzima ndani yenu.


Simoni Petro, mtumwa na mtume wa Yesu Kristo, kwa wale waliopata imani moja na sisi, yenye thamani, katika hali ya Mungu wetu, na Mwokozi Yesu Kristo.