Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




2 Wakorintho 4:1 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Kwa sababu hiyo, kwa kuwa tuna huduma hii, kwa jinsi tulivyopata rehema, hatulegei;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Basi, Mungu, kwa huruma yake, ametukabidhi kazi hii na hivyo hatufi moyo.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Basi, Mungu, kwa huruma yake, ametukabidhi kazi hii na hivyo hatufi moyo.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Basi, Mungu, kwa huruma yake, ametukabidhi kazi hii na hivyo hatufi moyo.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kwa hiyo, kwa kuwa tuna huduma hii kwa rehema za Mungu, hatukati tamaa.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kwa hiyo, kwa kuwa tuna huduma hii kwa rehema za Mungu, hatukati tamaa.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Kwa sababu hiyo, kwa kuwa tuna huduma hii, kwa jinsi tulivyopata rehema, hatulegei;

Tazama sura
Tafsiri zingine



2 Wakorintho 4:1
19 Marejeleo ya Msalaba  

Hata vijana watazimia na kuchoka, na vijana wanaume wataanguka;


bali wao wamngojeao BWANA watapata nguvu mpya; watapanda juu kwa mbawa kama tai; watakimbia, wala hawatachoka; watakwenda kwa miguu, wala hawatazimia.


Ulisema, Ole wangu! Kwa maana BWANA ameongeza huzuni pamoja na maumivu yangu. Nimechoka kwa ajili ya kuugua kwangu, wala sioni raha.


Akawaambia mfano, ya kwamba imewapasa kumwomba Mungu sikuzote, wala wasikate tamaa.


Basi Apolo ni nani? Na Paulo ni nani? Ni wahudumu ambao kwao mliamini; na kila mtu kama Bwana alivyompa.


Kuhusu wanawali sina amri ya Bwana, lakini natoa shauri langu, mimi niliyejaliwa kwa rehema za Bwana kuwa mwaminifu.


Basi, kwa kuwa mna tumaini la namna hii, twatumia ujasiri mwingi;


Naye ndiye aliyetutosheleza kuwa wahudumu wa agano jipya; si wa andiko, bali wa roho; kwa maana andiko huua, bali roho huhuisha.


Kwa hiyo hatulegei; bali ijapokuwa utu wetu wa nje unachakaa, lakini utu wetu wa ndani unafanywa upya siku kwa siku.


Lakini vyote pia vyatokana na Mungu, aliyetupatanisha sisi na nafsi yake kwa Kristo, naye alitupa huduma ya upatanisho;


Tena tusichoke katika kutenda mema; maana tutavuna kwa wakati wake, tusipozimia roho.


Basi naomba msikate tamaa kwa sababu ya dhiki zangu kwa ajili yenu, zilizo utukufu wenu.


Nayaweza mambo yote katika yeye anitiaye nguvu.


Lakini ninyi, ndugu, msikate tamaa katika kutenda mema.


ingawa hapo awali nilikuwa mtukanaji, mwenye kuudhi watu, mwenye ujeuri, lakini nilipata rehema kwa kuwa nilifanya hivyo kwa ujinga, na kwa kutokuwa na imani.


Maana mtafakarini sana yeye aliyeyastahimili upinzani mkuu namna hii ya watendao dhambi juu ya nafsi zao, msije mkachoka, mkizimia mioyoni mwenu.


ninyi mliokuwa kwanza si taifa, bali sasa ni taifa la Mungu; mliokuwa hamkupata rehema, bali sasa mmepata rehema.


tena ulikuwa na subira na kuvumilia kwa ajili ya jina langu, wala hukuchoka.