Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




2 Wakorintho 3:16 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Lakini wakati wowote watakapomgeukia Bwana, ule utaji huondolewa.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Lakini, wakati mtu amgeukiapo Bwana, kifuniko hicho huondolewa.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Lakini, wakati mtu amgeukiapo Bwana, kifuniko hicho huondolewa.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Lakini, wakati mtu amgeukiapo Bwana, kifuniko hicho huondolewa.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Lakini wakati wowote mtu anapomgeukia Bwana Mungu Mwenyezi, utaji unaondolewa.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Lakini wakati wowote mtu anapomgeukia Bwana Isa, utaji unaondolewa.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Lakini wakati wowote watakapomgeukia Bwana, ule utaji huondolewa.

Tazama sura
Tafsiri zingine



2 Wakorintho 3:16
13 Marejeleo ya Msalaba  

Lakini desturi ya Musa ilikuwa alipoingia mbele za BWANA kusema naye, kuuvua huo utaji mpaka atoke; akatoka akawaambia wana wa Israeli maneno yote aliyoambiwa.


Naye katika mlima huu atauharibu utando uliowekwa juu ya watu wote, na utaji ule uliotandwa juu ya mataifa yote.


Na katika siku hiyo viziwi watasikia maneno ya hicho kitabu, na macho ya vipofu yataona katika upofu na katika giza.


Na watoto wako wote watafundishwa na BWANA; na amani ya watoto wako itakuwa nyingi.


Wala hawatamfundisha kila mtu jirani yake, na kila mtu ndugu yake, wakisema, Mjue BWANA; kwa maana watanijua wote, tangu mtu aliye mdogo miongoni mwao hadi aliye mkubwa miongoni mwao, asema BWANA; maana nitausamehe uovu wao, wala dhambi yao sitaikumbuka tena.


Na tuchunguze njia zetu na kuzijaribu, Na kumrudia BWANA tena.


Na hao pia, wasipokaa katika kutoamini kwao, watapandikizwa; kwa kuwa Mungu aweza kuwapandikiza tena.


ila hata leo, Torati ya Musa isomwapo, utaji huikalia mioyo yao.


ukiwa utaifuata sauti ya BWANA, Mungu wako, kwa kuyashika maagizo yake, na amri zake zilizoandikwa katika kitabu hiki cha torati; ukimwelekea BWANA, Mungu wako, kwa moyo wako wote, na kwa roho yako yote.


Na wakati uwapo katika mashaka, ukiisha kupatwa na mambo haya yote, siku za mwisho, utamrudia BWANA, Mungu wako, na kuisikiza sauti yake;