Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




2 Wakorintho 13:8 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Maana hatuwezi kutenda neno lolote kinyume cha kweli, bali kwa ajili ya kweli.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Maana hatuwezi kuupinga ukweli; uwezo tulio nao ni wa kuuendeleza ukweli.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Maana hatuwezi kuupinga ukweli; uwezo tulio nao ni wa kuuendeleza ukweli.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Maana hatuwezi kuupinga ukweli; uwezo tulio nao ni wa kuuendeleza ukweli.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kwa maana hatuwezi kufanya lolote kinyume na kweli, bali kuithibitisha kweli tu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kwa maana hatuwezi kufanya lolote kinyume na kweli, bali kuithibitisha kweli tu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Maana hatuwezi kutenda neno lolote kinyume cha kweli, bali kwa ajili ya kweli.

Tazama sura
Tafsiri zingine



2 Wakorintho 13:8
20 Marejeleo ya Msalaba  

Mikaya akasema, Ukirudi kabisa kwa amani, BWANA hakusema kwa mimi. Akasema, Sikieni, enyi watu wote.


Hapana hekima, wala ufahamu, Wala shauri, juu ya BWANA.


Kama shomoro katika kutangatanga kwake, Na kama mbayuwayu katika kuruka kwake; Kadhalika laana isiyo na sababu haimpati mtu.


Yesu akasema, Msimkataze, kwa kuwa hakuna mtu atakayefanya mwujiza kwa jina langu na punde baadaye akaweza kuninena kwa uovu;


Maana, nijapojisifu zaidi kidogo kwa ajili ya mamlaka yetu, (tuliyopewa na Bwana, tupate kuwajenga wala si kuwaangusha), sitatahayarika;


Kwa sababu hiyo, naandika haya nikiwa mbali nanyi, ili, nikija, nisiwe na ukali wa kadiri ya uwezo ule niliopewa na Bwana, kwa kujenga wala si kwa kubomoa.


Nasi tunamwomba Mungu, msifanye lolote lililo baya; si kwamba sisi tuonekane tumekubaliwa, lakini ninyi mfanye lile lililo jema, ijapokuwa sisi tu kama waliokataliwa.


Maana twafurahi, iwapo sisi tu dhaifu, nanyi mmekuwa hodari. Tena twaomba hili nalo, kutimilika kwenu.


Katika hao wamo Himenayo na Iskanda, ambao nimempa Shetani watu hao, ili wafundishwe wasimtukane Mungu.