Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




2 Wakorintho 13:6 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Lakini natumaini kama mtajua ya kuwa sisi hatukukataliwa.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Lakini natumaini kwamba nyinyi mnajua kuwa sisi hatukushindwa.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Lakini natumaini kwamba nyinyi mnajua kuwa sisi hatukushindwa.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Lakini natumaini kwamba nyinyi mnajua kuwa sisi hatukushindwa.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Natumaini mtaona kuwa sisi hatukushindwa.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Natumaini mtaona kuwa sisi hatukushindwa.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Lakini natumaini kama mtajua ya kuwa sisi hatukukataliwa.

Tazama sura
Tafsiri zingine



2 Wakorintho 13:6
6 Marejeleo ya Msalaba  

Na kama walivyokataa kuwa na Mungu katika fahamu zao, Mungu aliwaacha wafuate akili zao zisizofaa, wayafanye yasiyowapasa.


Maana nachelea, nisije nikawakuta si kama vile nitakavyo kuwakuta, nikaonekana kwenu si kama vile mtakavyo; nisije nikakuta labda fitina na wivu, na ghadhabu, na ugomvi, na masingizio, na manong'onezo, na majivuno, na ghasia;


Kwa sababu hiyo, naandika haya nikiwa mbali nanyi, ili, nikija, nisiwe na ukali wa kadiri ya uwezo ule niliopewa na Bwana, kwa kujenga wala si kwa kubomoa.


Jichunguzeni wenyewe muone kama mmekuwa katika imani; jithibitisheni wenyewe. Au hamjijui wenyewe, kwamba Yesu Kristo yu ndani yenu? Isipokuwa iwe mmekataliwa.


Nasi tunamwomba Mungu, msifanye lolote lililo baya; si kwamba sisi tuonekane tumekubaliwa, lakini ninyi mfanye lile lililo jema, ijapokuwa sisi tu kama waliokataliwa.