Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




2 Wakorintho 12:8 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Kwa ajili ya kitu hicho nilimsihi Bwana mara tatu kwamba kinitoke.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Nilimsihi Bwana mara tatu kuhusu jambo hili ili linitoke.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Nilimsihi Bwana mara tatu kuhusu jambo hili ili linitoke.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Nilimsihi Bwana mara tatu kuhusu jambo hili ili linitoke.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kwa habari ya jambo hili, nilimsihi Mwenyezi Mungu mara tatu aniondolee mwiba huu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kwa habari ya jambo hili nilimsihi Bwana Isa mara tatu aniondolee mwiba huu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Kwa ajili ya kitu hicho nilimsihi Bwana mara tatu kwamba kinitoke.

Tazama sura
Tafsiri zingine



2 Wakorintho 12:8
10 Marejeleo ya Msalaba  

Na hilo vazi, lililofumwa, au lililosokotwa, au kitu chochote cha ngozi, utakalolifua, kama hilo pigo limetoka na kuliacha, ndipo litafuliwa mara ya pili, nalo litakuwa safi.


Jambo hili likatendeka mara tatu, kisha vitu vyote vikavutwa tena juu mbinguni.


Kadhalika Roho naye hutusaidia udhaifu wetu, kwa maana hatujui kuomba jinsi itupasavyo, lakini Roho mwenyewe hutuombea kwa kuugua kusikoweza kutamkwa.


Yeye, siku hizo za mwili wake, alimtolea yule, awezaye kumwokoa na kumtoa katika mauti, maombi na dua pamoja na kulia sana na machozi, akasikilizwa kwa jinsi alivyokuwa mcha Mungu;


Najuta kwa sababu nimemtawaza Sauli awe mfalme; maana amerudi nyuma, asinifuate, wala hakufanya nilivyomwamuru. Samweli akasikitika, akamlilia BWANA usiku kucha.