Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




2 Wakorintho 12:5 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Kuhusu mtu kama huyo nitajisifu; lakini kwa ajili ya nafsi yangu sitajisifu, isipokuwa kuhusu udhaifu wangu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Basi, nitajivunia juu ya mtu wa namna hiyo, na si juu yangu mimi binafsi, isipokuwa tu juu ya udhaifu wangu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Basi, nitajivunia juu ya mtu wa namna hiyo, na si juu yangu mimi binafsi, isipokuwa tu juu ya udhaifu wangu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Basi, nitajivunia juu ya mtu wa namna hiyo, na si juu yangu mimi binafsi, isipokuwa tu juu ya udhaifu wangu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Nitajisifu kwa ajili ya mtu kama huyo, lakini sitajisifu mwenyewe, ila nitajisifia udhaifu wangu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Nitajisifu kwa ajili ya mtu kama huyo, lakini sitajisifu kuhusu mimi mwenyewe ila mimi nitajisifia udhaifu wangu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Kuhusu mtu kama huyo nitajisifu; lakini kwa ajili ya nafsi yangu sitajisifu, isipokuwa kuhusu udhaifu wangu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



2 Wakorintho 12:5
5 Marejeleo ya Msalaba  

ili litimie lile neno lililonenwa na nabii Isaya, akisema, Mwenyewe aliutwaa udhaifu wetu, Na kuyachukua magonjwa yetu.


Nami nilikuwako kwenu katika hali ya udhaifu na hofu na kwa kutetemeka sana.


Ikinibidi kujisifu, nitajisifia mambo ya udhaifu wangu.


Sina budi kujisifu, ijapokuwa haipendezi; lakini nitafikia maono na mafunuo ya Bwana.