Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




2 Wakorintho 11:18 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Kwa sababu wengi wanajisifu kwa jinsi ya mwili, mimi nami nitajisifu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Maadamu wengi hujivuna kwa sababu za kidunia, nami pia nitajivuna.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Maadamu wengi hujivuna kwa sababu za kidunia, nami pia nitajivuna.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Maadamu wengi hujivuna kwa sababu za kidunia, nami pia nitajivuna.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kwa kuwa wengi wanajisifu kama vile ulimwengu ufanyavyo, mimi nami nitajisifu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kwa kuwa wengi wanajisifu kama vile ulimwengu ufanyavyo, mimi nami nitajisifu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Kwa sababu wengi wanajisifu kwa jinsi ya mwili, mimi nami nitajisifu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



2 Wakorintho 11:18
13 Marejeleo ya Msalaba  

Sisi tu wapumbavu kwa ajili ya Kristo, lakini ninyi ni wenye akili katika Kristo; sisi tu dhaifu, lakini ninyi mna nguvu; ninyi mna utukufu, lakini sisi hatupati heshima.


Basi, nilipokusudia hayo, je! Nilitumia kigeugeu? Au hayo niyakusudiayo, nayakusudia kwa jinsi ya mwili kwamba iwe hivi kwangu, kusema Ndiyo, ndiyo, na Siyo, siyo?


Lakini nifanyalo nitalifanya, ili niwapinge hao watafutao nafasi wasipate nafasi; ili kwamba katika neno hilo wajisifialo waonekane kuwa kama sisi.


Sina budi kujisifu, ijapokuwa haipendezi; lakini nitafikia maono na mafunuo ya Bwana.


Nimekuwa mpumbavu, ninyi mmenilazimisha. Maana ilinipasa nisifiwe na ninyi; kwa sababu sikuwa duni ya mitume walio wakuu kwa lolote, nijapokuwa si kitu.


Naye akaniambia, Neema yangu yakutosha; maana uweza wangu hutimilika katika udhaifu. Basi nitajisifia udhaifu wangu kwa furaha nyingi, ili uweza wa Kristo ukae juu yangu.


Hata imekuwa, sisi tangu sasa hatumjui mtu awaye yote kwa jinsi ya mwili. Ingawa sisi tumemtambua Kristo kwa jinsi ya mwili, lakini sasa hatumtambui hivi tena.


Maana, Mwili wote ni kama majani, Na fahari yake yote ni kama ua la majani. Majani hukauka na ua lake huanguka;