Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




2 Wakorintho 11:17 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Ninenalo silineni agizo la Bwana, bali kama kwa upumbavu, katika ujasiri huu wa kujisifu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Ninachosema sasa si kile alichoniagiza Bwana; kuhusu jambo hili la kujivuna, nasema tu kama mtu mpumbavu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Ninachosema sasa si kile alichoniagiza Bwana; kuhusu jambo hili la kujivuna, nasema tu kama mtu mpumbavu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Ninachosema sasa si kile alichoniagiza Bwana; kuhusu jambo hili la kujivuna, nasema tu kama mtu mpumbavu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Ninayosema kuhusiana na huku kujisifu kwa kujiamini, sisemi vile Bwana Isa angesema, bali kama mjinga.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Ninayosema kuhusiana na huku kujisifu kwa kujiamini, sisemi kama vile ambavyo Bwana Isa angesema, bali kama mjinga.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Ninenalo silineni agizo la Bwana, bali kama kwa upumbavu, katika ujasiri huu wa kujisifu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



2 Wakorintho 11:17
7 Marejeleo ya Msalaba  

Lakini watu wengine nawaambia mimi, wala si Bwana, ya kwamba iwapo ndugu mmoja ana mke asiyeamini, na mke huyo anakubali kukaa naye asimwache.


Kuhusu wanawali sina amri ya Bwana, lakini natoa shauri langu, mimi niliyejaliwa kwa rehema za Bwana kuwa mwaminifu.


Lakini nasema hayo, kwa kutoa idhini yangu, si kwa amri.


Laiti mngechukuliana nami katika upumbavu wangu kidogo! Naam, mchukuliane nami.


kusudi, wakija Wamakedonia pamoja nami, na kuwakuta hamjawa tayari, tusije tukatahayarika sisi, (tusiseme ninyi), katika hali hiyo ya kutumaini.