Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




2 Wakorintho 10:6 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

tena tukiwa tayari kupatiliza maasi yote, kutii kwenu kutakapotimia.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mkisha kuwa wakamilifu katika kutii, sisi tuko tayari kuadhibu kila namna ya kutotii.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mkisha kuwa wakamilifu katika kutii, sisi tuko tayari kuadhibu kila namna ya kutotii.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mkisha kuwa wakamilifu katika kutii, sisi tuko tayari kuadhibu kila namna ya kutotii.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Tena tunakuwa tayari kuadhibu kila tendo la kutotii, hapo kutii kwenu kutakapokamilika.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

tena tukiwa tayari kuadhibu kila tendo la kutotii, kutii kwenu kutakapokamilika.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

tena tukiwa tayari kupatiliza maasi yote, kutii kwenu kutakapotimia.

Tazama sura
Tafsiri zingine



2 Wakorintho 10:6
12 Marejeleo ya Msalaba  

Wewe ujisifuye katika torati, wamvunjia Mungu heshima kwa kuiasi torati?


Mnataka vipi? Nije kwenu na fimbo, au nije katika upendo na roho ya upole?


Kwa sababu hiyo, naandika haya nikiwa mbali nanyi, ili, nikija, nisiwe na ukali wa kadiri ya uwezo ule niliopewa na Bwana, kwa kujenga wala si kwa kubomoa.


Nimetangulia kuwaambia; na, kama vile nilipokuwapo mara ya pili, vivyo hivyo sasa nisipokuwapo, nawaambia wazi wao waliotenda dhambi tangu hapo, na wengine wote, ya kwamba, nikija, sitahurumia;


Maana niliandika kwa sababu hii pia, ili nipate wazi kwenu kwamba mmekuwa wenye kutii katika mambo yote.


Na mapenzi yake kwenu yamekuwa mengi kupita kiasi, akumbukapo kutii kwenu ninyi nyote, jinsi mlivyomkaribisha kwa hofu na kutetemeka.


Katika hao wamo Himenayo na Iskanda, ambao nimempa Shetani watu hao, ili wafundishwe wasimtukane Mungu.


Kwa hiyo, nikija, nitayakumbuka matendo yake atendayo, atoavyo upuzi juu yetu kwa maneno maovu; wala hatoshwi na hayo, ila yeye mwenyewe hawakaribishi hao ndugu, na wale watakao kuwakaribisha, huwazuia, na kuwatoa katika kanisa.