Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




2 Wakorintho 10:3 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Maana ingawa tunaenenda katika mwili, hatufanyi vita kwa jinsi ya mwili;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kweli tunaishi duniani, lakini hatupigani vita kidunia.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kweli tunaishi duniani, lakini hatupigani vita kidunia.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kweli tunaishi duniani, lakini hatupigani vita kidunia.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Ingawa tunaishi duniani, hatupigani vita kama ulimwengu ufanyavyo.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Ingawa tunaishi duniani, hatupigani vita kama ulimwengu ufanyavyo.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Maana ingawa tunaenenda katika mwili, hatufanyi vita kwa jinsi ya mwili;

Tazama sura
Tafsiri zingine



2 Wakorintho 10:3
11 Marejeleo ya Msalaba  

Kwa maana tulipokuwa katika hali ya mwili, tamaa za dhambi, zilizokuwako kwa sababu ya torati, zilitenda kazi katika viungo vyetu hata mkaizalia mauti mazao.


kwa maana kama tukiishi kwa kufuata mambo ya mwili, mwataka kufa; bali kama mkiyaua matendo ya mwili kwa Roho, mtaishi.


ili maagizo ya torati yatimizwe ndani yetu sisi, tusioenenda kwa kufuata mambo ya mwili, bali mambo ya roho.


Basi, nilipokusudia hayo, je! Nilitumia kigeugeu? Au hayo niyakusudiayo, nayakusudia kwa jinsi ya mwili kwamba iwe hivi kwangu, kusema Ndiyo, ndiyo, na Siyo, siyo?


(maana silaha za vita vyetu si za mwili, bali zina uwezo katika Mungu hata kuangusha ngome;)


Nimesulubiwa pamoja na Kristo; lakini ni hai; wala si mimi tena, bali Kristo yu hai ndani yangu; na uhai nilio nao sasa katika mwili, ninao katika imani ya Mwana wa Mungu, ambaye alinipenda, akajitoa nafsi yake kwa ajili yangu.


Mwanangu Timotheo, nakukabidhi agizo hilo liwe akiba, kwa ajili ya maneno ya unabii yaliyonenwa awali juu yako, ili katika hayo uweze kupigana vile vita vizuri;


Nimevipiga vita vilivyo vizuri, mwendo nimeumaliza, Imani nimeilinda;


Basi na sisi pia, kwa kuwa tunazungukwa na wingu kubwa la mashahidi namna hii, na tuweke kando kila mzigo mzito, na dhambi ile ituzingayo kwa upesi; na tupige mbio kwa subira katika yale mashindano yaliyowekwa mbele yetu,