Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




2 Wafalme 6:7 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Akasema, Kiokote. Basi akanyosha mkono, akakitwaa.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Elisha akamwamuru alichukue naye akanyosha mkono, akalichukua.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Elisha akamwamuru alichukue naye akanyosha mkono, akalichukua.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Elisha akamwamuru alichukue naye akanyosha mkono, akalichukua.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Akasema, “Lichukue.” Kisha yule mtu akanyoosha mkono wake, akalichukua.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Akasema, “Lichukue.” Kisha yule mtu akanyoosha mkono wake, akalichukua.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Akasema, Kiokote. Basi akanyosha mkono, akakitwaa.

Tazama sura
Tafsiri zingine



2 Wafalme 6:7
7 Marejeleo ya Msalaba  

Akamwita Gehazi, akasema, Mwite yule Mshunami. Basi akamwita. Na alipofika kwake, Elisha akasema, Haya! Mchukue mwanao.


Ndipo akaja akamwambia yule mtu wa Mungu. Naye akasema, Nenda ukayauze mafuta haya, uilipe deni yako; nayo yaliyosalia uyatumie wewe na watoto wako.


Mtu wa Mungu akasema, Kilianguka wapi? Akamwonesha mahali. Akakata kijiti, akakitupa pale pale, chuma kikaelea.


Basi, mfalme wa Shamu alikuwa akifanya vita na Israeli. Akafanya mashauri na watumishi wake, akasema, Kituo changu kitakuwapo mahali fulani.


BWANA akamwambia Musa, Nyosha mkono wako, kamshike mkia; (akaunyosha mkono wake akamshika, naye akageuka kuwa fimbo mkononi mwake;)


Yule maiti akainuka, akaketi, akaanza kusema. Akampa mama yake.


Akampa mkono, akamwinua; hata kisha akawaita wale watakatifu na wajane akamweka mbele yao, akiwa hai.