Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




2 Wafalme 5:19 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Elisha akamwambia, Nenda kwa amani. Lakini Naamani alipokuwa ameenda mbali kidogo,

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Elisha akamwambia, “Nenda kwa amani.” Naamani akaenda zake. Alipokuwa bado hajaenda mbali,

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Elisha akamwambia, “Nenda kwa amani.” Naamani akaenda zake. Alipokuwa bado hajaenda mbali,

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Elisha akamwambia, “Nenda kwa amani.” Naamani akaenda zake. Alipokuwa bado hajaenda mbali,

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Al-Yasa akamwambia, “Nenda kwa amani.” Baada ya Naamani kusafiri umbali fulani,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Al-Yasa akamwambia, “Nenda kwa amani.” Baada ya Naamani kusafiri umbali fulani,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Elisha akamwambia, Nenda kwa amani. Lakini Naamani alipokuwa ameenda mbali kidogo,

Tazama sura
Tafsiri zingine



2 Wafalme 5:19
11 Marejeleo ya Msalaba  

Wakasafiri kutoka Betheli, na kabla ya kufika Efrata, Raheli akashikwa na uchungu wa kuzaa, na uchungu wake ulikuwa mkali.


Basi Musa akaenda na kurejea kwa Yethro mkwewe, na kumwambia, Nipe ruhusa niende, nakusihi, niwarudie hao ndugu zangu walioko Misri, nipate kuwaona kwamba wako hai hata sasa. Yethro akamwambia Musa, Haya, nenda kwa amani.


Akamwambia, Binti, imani yako imekuponya, nenda zako kwa amani, uwe mzima, usiwe na msiba wako tena.


Akamwambia yule mwanamke, Imani yako imekuokoa, nenda zako kwa amani.


Akamwambia, Binti, imani yako imekuponya; nenda zako na amani.


Hata bado ningali ninayo mengi ya kuwaambia, lakini hamuwezi kuyastahimili hivi sasa.


Niliwanywesha maziwa sikuwalisha chakula; kwa kuwa mlikuwa hamjakiweza. Naam, hata sasa hamkiwezi,


Ndipo Eli akajibu, akasema, Nenda kwa amani; na Mungu wa Israeli akujalie haja yako uliyomwomba.


Basi Daudi akapokea mkononi mwake vitu vile alivyomletea; akamwambia, Haya! Kwea kwa amani kwenda nyumbani kwako; tazama, nimeisikiliza sauti yako, nami nimelikubali ombi lako.