Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




2 Wafalme 4:37 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Ndipo akaingia, akamwangukia miguu akainama mpaka nchi; kisha akamchukua mwanawe, akatoka.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Akainama miguuni pa Elisha kwa shukrani na kumchukua mwanawe.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Akainama miguuni pa Elisha kwa shukrani na kumchukua mwanawe.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Akainama miguuni pa Elisha kwa shukrani na kumchukua mwanawe.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Akaingia ndani, akaanguka miguuni pa Al-Yasa na kusujudu hadi chini. Kisha akamchukua mwanawe na kutoka nje.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Akaingia ndani, akaanguka miguuni pa Al-Yasa na kusujudu hadi nchi. Kisha akamchukua mwanawe na kutoka nje.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Ndipo akaingia, akamwangukia miguuni akainama mpaka chini; kisha akamchukua mwanawe, akatoka.

Tazama sura
Tafsiri zingine



2 Wafalme 4:37
6 Marejeleo ya Msalaba  

Yusufu akawatoa katika magoti yake, naye akainama kifudifudi


Mwanamke akamwambia Eliya, Sasa najua ya kuwa wewe ndiwe mtu wa Mungu, na ya kuwa neno la BWANA kinywani mwako ni kweli.


Na hao wana wa manabii, waliokuwako Yeriko wakimkabili, walipomwona, walisema, Roho ya Eliya inakaa juu ya Elisha. Wakaja kuonana naye, wakainama kifudifudi mbele yake.


Naye alipofika kwa yule mtu wa Mungu kilimani, alimshika miguu. Gehazi akakaribia amwondoe; lakini mtu wa Mungu akamwambia, Mwache; maana roho yake ndani yake ina uchungu; na BWANA amenificha, wala hakuniambia.


Akamwita Gehazi, akasema, Mwite yule Mshunami. Basi akamwita. Na alipofika kwake, Elisha akasema, Haya! Mchukue mwanao.


Wanawake walipokea wafu wao waliofufuliwa. Lakini wengine waliumizwa vibaya hata kuuawa, wasikubali ukombozi, ili wapate ufufuo ulio bora;