Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




2 Wafalme 4:33 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Basi akaingia ndani, akajifungia mlango, yeye na yule mtoto wote wawili, akamwomba BWANA.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Basi, akafunga mlango na kumwomba Mwenyezi-Mungu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Basi, akafunga mlango na kumwomba Mwenyezi-Mungu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Basi, akafunga mlango na kumwomba Mwenyezi-Mungu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Akaingia ndani, akajifungia yeye na yule mtoto, akamwomba Mwenyezi Mungu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Akaingia ndani, akajifungia yeye na yule mtoto, akamwomba bwana.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Basi akaingia ndani, akajifungia mlango, yeye na yule mtoto wote wawili, akamwomba BWANA.

Tazama sura
Tafsiri zingine



2 Wafalme 4:33
12 Marejeleo ya Msalaba  

Basi Elisha alipofika nyumbani, tazama, mtoto amekwisha kufa, amelazwa kitandani pake.


Kisha uingie ndani, ukajifungie mlango wewe na wanao, ukavimiminie mafuta vyombo vile vyote; navyo vilivyojaa ukavitenge.


Lakini Naamani akakasirika, akaondoka, akasema, Tazama, nilidhania, Bila shaka atatoka kwangu, na kusimama, na kuomba kwa jina la BWANA, Mungu wake, na kupitisha mkono wake mahali penye ugonjwa, na kuniponya mimi mwenye ukoma.


Hata walipokwisha kuingia Samaria, Elisha akasema, BWANA wafumbue macho watu hawa, wapate kuona. BWANA akawafumbua macho wakaona; kumbe! Walikuwa katikati ya Samaria.


Bali wewe usalipo, ingia katika chumba chako cha ndani, na ukiisha kufunga mlango wako, usali mbele za Baba yako aliye sirini; na Baba yako aonaye sirini atakujazi.


Alipofika nyumbani hakuruhusu mtu kuingia pamoja naye ila Petro, na Yohana, na Yakobo, na babaye yule mtoto na mamaye.


Petro akawatoa nje wote, akapiga magoti, akaomba, kisha akaelekea yule maiti, akanena, Tabitha, inuka. Naye akafumbua macho yake, na alipomwona Petro akajiinua, akaketi.