Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




2 Wafalme 4:32 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Basi Elisha alipofika nyumbani, tazama, mtoto amekwisha kufa, amelazwa kitandani pake.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Elisha alipofika, akaingia peke yake chumbani na kuona maiti ya kijana kitandani.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Elisha alipofika, akaingia peke yake chumbani na kuona maiti ya kijana kitandani.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Elisha alipofika, akaingia peke yake chumbani na kuona maiti ya kijana kitandani.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Al-Yasa alipofika kwenye ile nyumba, mtoto alikuwa amelala juu ya kitanda chake angali amekufa.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Al-Yasa alipofika kwenye ile nyumba, mtoto alikuwa amelala juu ya kitanda chake angali amekufa.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Basi Elisha alipofika nyumbani, tazama, mtoto amekwisha kufa, amelazwa kitandani pake.

Tazama sura
Tafsiri zingine



2 Wafalme 4:32
6 Marejeleo ya Msalaba  

Ikawa, baada ya hayo, mwana wake yule mwanamke, bibi wa nyumba ile, akaugua; ugonjwa wake ukazidi hata akawa hana pumzi tena.


Mamaye akapanda juu, akamlaza juu ya kitanda cha yule mtu wa Mungu, akamfungia mlango, akatoka.


Na Gehazi akawatangulia, akaiweka ile fimbo juu ya uso wa mtoto; lakini hapakuwa na sauti, wala majibu. Basi akarudi ili kumlaki, akamwambia, akisema, Mtoto hakuamka.


Basi akaingia ndani, akajifungia mlango, yeye na yule mtoto wote wawili, akamwomba BWANA.


Basi Yesu alipofika, alimkuta amekwisha kuwamo kaburini yapata siku nne.