Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




2 Wafalme 4:18 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Hata yule mtoto alipokua, ikawa siku moja alitoka kwenda kwa baba yake kwenye wavunao.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mtoto huyo alipokua, alitoka siku moja pamoja na baba yake akafuatana na wavunaji,

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mtoto huyo alipokua, alitoka siku moja pamoja na baba yake akafuatana na wavunaji,

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mtoto huyo alipokua, alitoka siku moja pamoja na baba yake akafuatana na wavunaji,

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mtoto akakua, naye siku moja akamwendea baba yake, aliyekuwa pamoja na wavunaji.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Mtoto akakua, naye siku moja akamwendea baba yake, ambaye alikuwa pamoja na wavunaji.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Hata yule mtoto alipokua, ikawa siku moja alitoka kwenda kwa baba yake kwa wavunao.

Tazama sura
Tafsiri zingine



2 Wafalme 4:18
4 Marejeleo ya Msalaba  

Yule mwanamke akachukua mimba, akazaa mtoto wa kiume wakati uo huo mwakani, kama Elisha alivyomwambia.


Akamwambia baba yake, Kichwa changu! Kichwa changu! Naye akamwambia mtumishi wake, Mchukue kwa mama yake.


Basi Elisha alikuwa amemwambia yule mwanamke, ambaye alimfufulia mwanawe, akasema, Ondoka, ukaende wewe na jamaa yako, ukae hali ya kigeni utakakoweza kukaa; kwa sababu BWANA ameiita njaa; nayo itakuja juu ya nchi hii muda wa miaka saba.


Na tazama, Boazi akaja kutoka Bethlehemu na kuwaamkia wavunaji, akasema, BWANA akae nanyi. Nao wakamwitikia, BWANA na akubariki.