Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




2 Wafalme 4:17 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Yule mwanamke akachukua mimba, akazaa mtoto wa kiume wakati uo huo mwakani, kama Elisha alivyomwambia.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Lakini huyo mwanamke akapata mimba na kuzaa mtoto wakati kama huo mwaka uliofuata, kama Elisha alivyokuwa amemwambia.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Lakini huyo mwanamke akapata mimba na kuzaa mtoto wakati kama huo mwaka uliofuata, kama Elisha alivyokuwa amemwambia.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Lakini huyo mwanamke akapata mimba na kuzaa mtoto wakati kama huo mwaka uliofuata, kama Elisha alivyokuwa amemwambia.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Lakini yule mwanamke akapata mimba, na mwaka uliofuata wakati kama ule ule akamzaa mwana, kama vile Al-Yasa alivyokuwa amemwambia.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Lakini yule mwanamke akapata mimba, na mwaka uliofuata wakati kama ule ule akamzaa mwana, kama vile Al-Yasa alivyokuwa amemwambia.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Yule mwanamke akachukua mimba, akazaa mtoto wa kiume wakati huo huo mwakani, kama Elisha alivyomwambia.

Tazama sura
Tafsiri zingine



2 Wafalme 4:17
8 Marejeleo ya Msalaba  

BWANA akamjia Sara kama alivyonena, na BWANA akamfanyia kama alivyosema.


Akasema, Panapo wakati huu mwakani, utamkumbatia mwana. Akasema, La! Bwana wangu, wewe mtu wa Mungu, usiniambie mimi mjakazi wako uongo.


Hata yule mtoto alipokua, ikawa siku moja alitoka kwenda kwa baba yake kwenye wavunao.


Humweka nyumbani mwanamke aliye tasa, Awe mama ya watoto mwenye furaha.


Tena, tazama, jamaa yako Elisabeti naye amechukua mimba ya mtoto wa kiume katika uzee wake; na mwezi huu ni wa sita kwake yeye aliyeitwa tasa;


Kwa imani hata Sara mwenyewe alipokea uwezo wa kuwa na mimba; alipokuwa amepita wakati wake; kwa kuwa alimhesabu yeye aliyeahidi kuwa mwaminifu.