Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




2 Wafalme 4:15 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Akamwambia, Kamwite. Naye alipokwisha kuitwa, akasimama mlangoni.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Elisha akamwambia, “Mwite.” Naye akamwita. Akaja na kusimama mlangoni.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Elisha akamwambia, “Mwite.” Naye akamwita. Akaja na kusimama mlangoni.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Elisha akamwambia, “Mwite.” Naye akamwita. Akaja na kusimama mlangoni.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Ndipo Al-Yasa akasema, “Mwite huyo mwanamke.” Kwa hiyo akamwita, naye akaja akasimama mlangoni.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Ndipo Al-Yasa akasema, “Mwite huyo mwanamke.” Kwa hiyo akamwita, naye akaja akasimama mlangoni.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Akamwambia, Kamwite. Naye alipokwisha kuitwa, akasimama mlangoni.

Tazama sura
Tafsiri zingine



2 Wafalme 4:15
2 Marejeleo ya Msalaba  

Akasema, Basi, atendewe nini? Gehazi akajibu, Hakika hana mwana, na mumewe ni mzee.


Akasema, Panapo wakati huu mwakani, utamkumbatia mwana. Akasema, La! Bwana wangu, wewe mtu wa Mungu, usiniambie mimi mjakazi wako uongo.