Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




2 Wafalme 25:2 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Basi mji huo ulihusuriwa hata mwaka wa kumi na moja wa mfalme Sedekia.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mji uliendelea kuzingirwa mpaka mwaka wa kumi na moja wa utawala wa Sedekia.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mji uliendelea kuzingirwa mpaka mwaka wa kumi na moja wa utawala wa Sedekia.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mji uliendelea kuzingirwa mpaka mwaka wa kumi na moja wa utawala wa Sedekia.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mji ulizingirwa na jeshi hadi mwaka wa kumi na moja wa utawala wa Mfalme Sedekia.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Mji ulizungukwa na jeshi mpaka mwaka wa kumi na moja wa utawala wa Mfalme Sedekia.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Basi mji huo ulihusuriwa hata mwaka wa kumi na moja wa mfalme Sedekia.

Tazama sura
Tafsiri zingine



2 Wafalme 25:2
6 Marejeleo ya Msalaba  

Wakati ule watumishi wa Nebukadneza mfalme wa Babeli wakakwea kwenda Yerusalemu, na mji ukahusuriwa.


Ikawa katika mwaka wa tisa wa kutawala kwake, katika mwezi wa kumi, na siku ya kumi ya mwezi huo, Nebukadneza, mfalme wa Babeli, akaja, yeye na jeshi lake lote, kupigana na Yerusalemu, akapanga hema zake kuukabili; nao wakajenga ngome juu yake pande zote.


Siku ya tisa ya mwezi wa nne njaa ilikuwa nzito ndani ya mji, hata hapakuwa na chakula kwa watu wa nchi.


Neno hili ndilo lililomjia Yeremia, kutoka kwa BWANA, katika mwaka wa kumi wa Sedekia, mfalme wa Yuda, nao ulikuwa mwaka wa kumi na nane wa Nebukadneza.


Basi mji huo ulizingirwa hata mwaka wa kumi na mmoja wa mfalme Sedekia.


Naye atakuhusuru katika malango yako yote, hata kuta zako ndefu, zenye maboma, ulizokuwa ukiziamini, zishuke, katika nchi yako yote kila upande; naye atakuhusuru katika malango yako yote kila upande, katika nchi yako yote aliyokupa BWANA, Mungu wako.