Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




2 Wafalme 24:9 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Akafanya yaliyo mabaya machoni pa BWANA, mfano wa yote aliyoyafanya baba yake.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Alitenda maovu mbele ya Mwenyezi-Mungu kama aliyoyafanya baba yake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Alitenda maovu mbele ya Mwenyezi-Mungu kama aliyoyafanya baba yake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Alitenda maovu mbele ya Mwenyezi-Mungu kama aliyoyafanya baba yake.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Akafanya maovu machoni pa Mwenyezi Mungu, kama vile baba yake alivyokuwa amefanya.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Akafanya maovu machoni pa bwana, kama vile baba yake alivyokuwa amefanya.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Akafanya yaliyo mabaya machoni pa BWANA, mfano wa yote aliyoyafanya baba yake.

Tazama sura
Tafsiri zingine



2 Wafalme 24:9
5 Marejeleo ya Msalaba  

Akafanya yaliyo mabaya machoni pa BWANA, sawasawa na machukizo ya mataifa, aliowafukuza BWANA mbele ya wana wa Israeli.


Akafanya yaliyo maovu machoni pa BWANA, kama Manase babaye alivyofanya.


Akaiendea njia yote aliyoiendea baba yake, akazitumikia sanamu alizozitumikia baba yake, akaziabudu.


Wakati ule watumishi wa Nebukadneza mfalme wa Babeli wakakwea kwenda Yerusalemu, na mji ukahusuriwa.


Naye akaenda huku na huko kati ya simba, akawa mwanasimba, akajifunza kuwinda mawindo, akala watu.