Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




2 Wafalme 24:6 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Yehoyakimu akalala na babaze; na mwanawe Yekonia akatawala mahali pake.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Yehoyakimu akafariki, na mwanawe Yehoyakini akatawala mahali pake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Yehoyakimu akafariki, na mwanawe Yehoyakini akatawala mahali pake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Yehoyakimu akafariki, na mwanawe Yehoyakini akatawala mahali pake.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Yehoyakimu akalala na baba zake. Naye Yehoyakini mwanawe akawa mfalme baada yake.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Yehoyakimu akalala pamoja na baba zake. Naye Yehoyakini mwanawe akawa mfalme baada yake.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Yehoyakimu akalala na babaze; na mwanawe Yekonia akatawala mahali pake.

Tazama sura
Tafsiri zingine



2 Wafalme 24:6
7 Marejeleo ya Msalaba  

Basi mambo yote ya Yehoyakimu yaliyosalia, na yote aliyoyafanya, je! Hayakuandikwa katika Kitabu cha Kumbukumbu za Wafalme wa Yuda?


Juu yake akakwea Nebukadneza, mfalme wa Babeli, akamfunga kwa pingu, amchukue mpaka Babeli.


Basi mambo yote ya Yehoyakimu yaliyosalia, na machukizo yake aliyoyafanya, nayo yaliyoonekana kwake, tazama, yameandikwa katika kitabu cha wafalme wa Israeli na Yuda; na Yekonia mwanawe akatawala mahali pake.


Kama niishivyo mimi, asema BWANA, hata Konia, mwana wa Yehoyakimu, mfalme wa Yuda, angekuwa pete yenye mhuri katika mkono wangu wa kulia, ningekung'oa wewe hapo;


Basi, BWANA aseme hivi, kuhusu Yehoyakimu, mfalme wa Yuda; Hatakuwa na mtu wa kukaa katika kiti cha enzi cha Daudi; na maiti yake itatupwa nje wakati wa mchana ipigwe na joto, na wakati wa usiku ipigwe na baridi.


Tena uwaombolezee wakuu wa Israeli,