Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




2 Wafalme 23:37 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Akafanya yaliyo mabaya machoni pa BWANA, sawasawa na yote waliyoyafanya baba zake.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Yehoyakimu alitenda maovu mbele ya Mwenyezi-Mungu, kama waliyoyafanya babu zake wote.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Yehoyakimu alitenda maovu mbele ya Mwenyezi-Mungu, kama waliyoyafanya babu zake wote.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Yehoyakimu alitenda maovu mbele ya Mwenyezi-Mungu, kama waliyoyafanya babu zake wote.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Naye akafanya maovu machoni mwa Mwenyezi Mungu, kama baba zake walivyokuwa wamefanya.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Naye akafanya maovu machoni mwa bwana, kama baba zake walivyokuwa wamefanya.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Akafanya yaliyo mabaya machoni pa BWANA, sawasawa na yote waliyoyafanya baba zake.

Tazama sura
Tafsiri zingine



2 Wafalme 23:37
12 Marejeleo ya Msalaba  

Akafanya yaliyo maovu machoni pa BWANA, kama Manase babaye alivyofanya.


Akafanya yaliyo mabaya machoni pa BWANA, sawasawa na yote waliyoyafanya baba zake.


Akafanya yaliyo mabaya machoni pa BWANA, sawasawa na yote aliyoyafanya Yehoyakimu.


Yehoyakimu alikuwa na umri wa miaka ishirini na mitano alipoanza kutawala; akatawala katika Yerusalemu miaka kumi na mmoja; akafanya yaliyo mabaya machoni pa BWANA, Mungu wake.


Nami nitamwadhibu yeye, na wazao wake, na watumishi wake, kwa sababu ya uovu wao, nami nitaleta juu yao, na juu ya wenyeji wa Yerusalemu, na juu ya watu wa Yuda, mabaya yote niliyoyatamka juu yao, lakini hawakukubali kusikiliza.