Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




2 Wafalme 21:10 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

BWANA akanena kwa watumishi wake manabii, akisema,

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Ndipo Mwenyezi-Mungu alisema kupitia kwa watumishi wake manabii,

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Ndipo Mwenyezi-Mungu alisema kupitia kwa watumishi wake manabii,

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Ndipo Mwenyezi-Mungu alisema kupitia kwa watumishi wake manabii,

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mwenyezi Mungu akasema kupitia watumishi wake manabii:

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

bwana akasema kupitia watumishi wake manabii:

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

BWANA akanena kwa watumishi wake manabii, akisema,

Tazama sura
Tafsiri zingine



2 Wafalme 21:10
8 Marejeleo ya Msalaba  

Pamoja na hayo BWANA aliwashuhudia Israeli, na Yuda, kwa kinywa cha kila nabii, na cha kila mwonaji, akisema, Geukeni, na kuziacha njia zenu mbaya, mkazishike amri zangu na hukumu zangu, sawasawa na ile sheria yote niliyowaamuru baba zenu, nikawapelekea kwa kinywa cha manabii watumishi wangu.


Kwa sababu Manase mfalme wa Yuda amefanya machukizo haya, na kutenda vibaya kuliko yote waliyoyatenda Waamori, waliokuwa kabla yake, naye akawakosesha Yuda kwa sanamu zake;


Walakini hawakusikia; naye Manase akawakosesha wafanye mabaya, kuliko mataifa BWANA aliowaharibu mbele za wana wa Israeli.


Naye BWANA akasema na Manase, na watu wake; wala wasiangalie.


Naye BWANA, Mungu wa baba zao, akatuma kwao kwa mikono ya wajumbe wake, akiondoka mapema, na kutuma; kwa sababu aliwahurumia watu wake, na makao yake;


Walakini hawakukutii, wakakuasi, wakaitupa sheria yako nyuma yao, wakawaua manabii wako waliowaonya ili wapate kukurudia wewe; wakakufuru sana.


Lakini miaka mingi ukachukuliana nao, nawe ukawashuhudia kwa roho yako kwa vinywa vya manabii wako; wao wasitake kusikiliza; kwa hiyo ukawatia katika mikono ya watu wa nchi.