Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




2 Wafalme 20:4 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Ikawa, kabla Isaya hajatoka katika mji wa kati, neno la BWANA likamjia, kusema,

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Lakini kabla Isaya hajapita ua wa katikati, neno la Mwenyezi-Mungu lilimjia, kusema,

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Lakini kabla Isaya hajapita ua wa katikati, neno la Mwenyezi-Mungu lilimjia, kusema,

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Lakini kabla Isaya hajapita ua wa katikati, neno la Mwenyezi-Mungu lilimjia, kusema,

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kabla Isaya hajaondoka katika ua wa kati, neno la Mwenyezi Mungu likamjia, akaambiwa:

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kabla Isaya hajaondoka katika ua wa kati, neno la bwana likamjia, akaambiwa:

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Ikawa, kabla Isaya hajatoka ua wa katikati ya mji, neno la BWANA likamjia, kusema,

Tazama sura
Tafsiri zingine



2 Wafalme 20:4
4 Marejeleo ya Msalaba  

Nayo nyumba yake atakayokalia, katika behewa nyingine iliyokuwa ndani kupita baraza, ilikuwa ya kazi kama hiyo. Tena akamjengea nyumba binti Farao, (ambaye Sulemani alikuwa amemwoa), mfano wa ile baraza.


Nakusihi, BWANA, ukumbuke sasa, jinsi nilivyokwenda mbele zako katika kweli na kwa moyo mkamilifu, na kutenda yaliyo mema machoni pako. Hezekia akalia sana sana.


Rudi, ukamwambie Hezekia, mkuu wa watu wangu, BWANA, Mungu wa Daudi baba yako asema hivi, Nimeyasikia maombi yako, na kuyaona machozi yako; tazama, nitakuponya; siku ya tatu utapanda nyumbani kwa BWANA.


Basi Hilkia kuhani, na Ahikamu, na Akbori, na Shafani, na Asaya, wakamwendea Hulda, nabii wa kike, mkewe Shalumu, mwana wa Tikva, mwana wa Harhasi, mtunza mavazi ya mfalme; (naye alikaa Yerusalemu katika mtaa wa pili;) wakasema naye.