Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




2 Wafalme 20:2 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Basi Hezekia akajigeuza, akaelekeza uso wake ukutani, akamwomba BWANA akasema,

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Hezekia akageukia upande wa ukuta na kumwomba Mwenyezi-Mungu akisema,

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Hezekia akageukia upande wa ukuta na kumwomba Mwenyezi-Mungu akisema,

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Hezekia akageukia upande wa ukuta na kumwomba Mwenyezi-Mungu akisema,

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Hezekia akaelekeza uso wake ukutani, akamwomba Mwenyezi Mungu:

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Hezekia akaelekeza uso wake ukutani, akamwomba bwana:

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Basi Hezekia akajigeuza, akaelekeza uso wake ukutani, akamwomba BWANA akasema,

Tazama sura
Tafsiri zingine



2 Wafalme 20:2
6 Marejeleo ya Msalaba  

Uisikie dua ya mtumwa wako, na ya watu wako Israeli, watakapoomba wakikabili mahali hapa; naam, sikia huko mbinguni, makao yako; nawe usikiapo, samehe.


Siku hizo Hezekia akaugua, akawa katika hatari ya kufa. Isaya, nabii, mwana wa Amozi, akamjia akamwambia, BWANA asema hivi, Tengeneza mambo ya nyumba yako; maana utakufa, wala hutapona.


Nakusihi, BWANA, ukumbuke sasa, jinsi nilivyokwenda mbele zako katika kweli na kwa moyo mkamilifu, na kutenda yaliyo mema machoni pako. Hezekia akalia sana sana.


Uniite siku ya mateso; Nitakuokoa, nawe utanitukuza.


Bali wewe usalipo, ingia katika chumba chako cha ndani, na ukiisha kufunga mlango wako, usali mbele za Baba yako aliye sirini; na Baba yako aonaye sirini atakujazi.