Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




2 Wafalme 2:20 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Akasema, Nileteeni chombo kipya, mtie chumvi ndani yake. Wakamletea.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Elisha akawaambia, “Tieni chumvi ndani ya bakuli jipya, kisha mniletee.” Nao wakamletea.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Elisha akawaambia, “Tieni chumvi ndani ya bakuli jipya, kisha mniletee.” Nao wakamletea.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Elisha akawaambia, “Tieni chumvi ndani ya bakuli jipya, kisha mniletee.” Nao wakamletea.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Akasema, “Nileteeni bakuli mpya, mweke chumvi ndani yake.” Kwa hiyo wakamletea.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Akasema, “Nileteeni bakuli mpya, mweke chumvi ndani yake.” Kwa hiyo wakamletea.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Akasema, Nileteeni chombo kipya, mtie chumvi ndani yake. Wakamletea.

Tazama sura
Tafsiri zingine



2 Wafalme 2:20
5 Marejeleo ya Msalaba  

Watu wa mjini wakamwambia Elisha, Angalia, twakusihi, mahali pa mji huu ni pazuri, kama bwana wangu aonavyo; lakini maji yake hayafai, na nchi huzaa mapooza.


Akatoka akaenda mpaka chemchemi ya maji, akatupa ile chumvi humo ndani, akasema, BWANA asema hivi, Nimeyaponya maji haya; hakutatoka huko tena kufa wala kuzaa mapooza.


Bali mahali penye matope, na maziwa yake, hayataponywa; yataachwa yawe ya chumvi.


Basi kama niishivyo, asema BWANA wa majeshi, Mungu wa Israeli, Hakika Moabu atakuwa kama Sodoma, na wana wa Amoni kama Gomora, yaani, milki ya upupu, na mashimo ya chumvi, ukiwa wa daima; watu wangu waliosalia watawateka nyara, na watu wa taifa langu waliobaki watawarithi.


Abimeleki akapigana na huo mji mchana kutwa; akautwaa mji, akawaua watu waliokuwamo ndani yake; kisha akauteketeza mji, na kuutia chumvi.