Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




2 Wafalme 19:5 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Basi watumishi wa mfalme Hezekia wakamwendea Isaya.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Basi, hao watumishi wa mfalme Hezekia walipokwisha fika kwa Isaya,

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Basi, hao watumishi wa mfalme Hezekia walipokwisha fika kwa Isaya,

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Basi, hao watumishi wa mfalme Hezekia walipokwisha fika kwa Isaya,

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Maafisa wa Mfalme Hezekia walipofika kwa Isaya,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Maafisa wa Mfalme Hezekia walipofika kwa Isaya,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Basi watumishi wa mfalme Hezekia wakamwendea Isaya.

Tazama sura
Tafsiri zingine



2 Wafalme 19:5
4 Marejeleo ya Msalaba  

Yamkini BWANA, Mungu wako, atayasikia maneno yote ya kamanda huyu, ambaye mfalme wa Ashuru, bwana wake, amemtuma ili amtukane Mungu aliye hai; naye atayakemea hayo maneno aliyoyasikia BWANA, Mungu wako; kwa sababu hii inua dua yako kwa ajili ya mabaki yaliyobakia.


Isaya akawaambia, Mwambieni bwana wenu maneno haya; BWANA asema hivi, Usiyaogope maneno hayo uliyoyasikia, ambayo watumishi wa mfalme wa Ashuru wamenitukana.


Isaya akawaambia, Mwambieni bwana wenu maneno haya; BWANA asema hivi, Usiyaogope maneno uliyoyasikia, ambayo watumishi wa mfalme wa Ashuru wamenitukana.


Sikiliza, Ee Israeli; BWANA, Mungu wetu, BWANA ndiye mmoja