Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




2 Wafalme 19:26 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Ndiyo sababu wenyeji wao walikuwa na nguvu chache, wakafadhaika, na kuhangaika; wakawa kama majani ya mashamba, kama miche mibichi, kama majani juu ya dari, na kama ngano iliyokaushwa kabla haijaiva.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Wakazi wake wakiwa wameishiwa nguvu, wametishika na kufadhaika, wamekuwa kama mimea ya shambani, kama majani yasiyo na nguvu. Kama majani yaotayo juu ya paa; yakaukavyo kabla ya kukua.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Wakazi wake wakiwa wameishiwa nguvu, wametishika na kufadhaika, wamekuwa kama mimea ya shambani, kama majani yasiyo na nguvu. Kama majani yaotayo juu ya paa; yakaukavyo kabla ya kukua.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Wakazi wake wakiwa wameishiwa nguvu, wametishika na kufadhaika, wamekuwa kama mimea ya shambani, kama majani yasiyo na nguvu. Kama majani yaotayo juu ya paa; yakaukavyo kabla ya kukua.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Watu wa miji hiyo wameishiwa nguvu, wanavunjika mioyo na kuaibishwa. Wao ni kama mimea katika shamba, kama machipukizi mororo ya kijani, kama majani yachipuayo juu ya paa la nyumba, ambayo hukauka kabla ya kukua.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Watu wa miji hiyo wameishiwa nguvu, wanavunjika mioyo na kuaibishwa. Wao ni kama mimea katika shamba, kama machipukizi mororo ya kijani, kama majani yachipuayo juu ya paa la nyumba, ambayo hukauka kabla ya kukua.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Ndiyo sababu wenyeji wao walikuwa na nguvu chache, wakafadhaika, na kuhangaika; wakawa kama majani ya mashamba, kama miche mibichi, kama majani juu ya dari, na kama ngano iliyokaushwa kabla haijaiva.

Tazama sura
Tafsiri zingine



2 Wafalme 19:26
18 Marejeleo ya Msalaba  

Na tazama, masuke saba membamba, dhaifu, yamekaushwa na upepo wa mashariki, yakatokeza baada yao.


Na tazama, masuke saba membamba, yamekaushwa na upepo wa mashariki, yakatokeza baada yao.


Siku zangu ni kama kivuli cha jioni, Nami ninanyauka kama majani.


BWANA asipoijenga nyumba Waijengao wanafanya kazi bure. BWANA asipoulinda mji Yeye aulindaye anakesha bure.


Hata wasio haki wakichipuka kama majani Na wote watendao maovu wakastawi. Mwishowe wataangamizwa milele;


Nao watafadhaika; watashikwa na uchungu na maumivu; watakuwa na uchungu kama mwanamke aliye karibu kuzaa; watakodoleana macho; nyuso zao zitakuwa ni nyuso za moto.


Maana mngelipiga jeshi lote la Wakaldayo wanaopigana nanyi, wakabaki kati yao watu waliojeruhiwa tu, hata hivyo wangeondoka kila mtu katika hema yake, na kuuteketeza mji huu.


Mashujaa wa Babeli wameacha kupigana; Wanakaa katika ngome zao; Ushujaa wao umewapungukia; Wamekuwa kama wanawake; Makao yake yameteketea; Makomeo yake yamevunjika.


Navyo vivuko vimeshambuliwa, Nayo makangaga wameyatia moto, Nao watu wa vita wameingiwa na hofu.


BWANA akamwambia Musa, Je! Mkono wa BWANA umepungua urefu wake? Sasa utaona kama neno langu litatimizwa kwako, au la.


Lakini msimwasi BWANA, wala msiwaogope wale wenyeji wa nchi, maana wao ni chakula kwetu; kinga iliyokuwa juu yao imeondolewa, naye BWANA yuko pamoja nasi; msiwaogope.


Niwaambialo ninyi katika giza, lisemeni katika nuru; na msikialo kwa siri, lihubirini juu ya nyumba.


Maana, Mwili wote ni kama majani, Na fahari yake yote ni kama ua la majani. Majani hukauka na ua lake huanguka;